Muonekano wa Mji Mkongwe wa Zanzibar kama unavyoonekana picha iliopigwa kwa juu wakati nikiwa katika safari zangu nikirudi Zenj hivi karibuni nimebahatika kuipiga picha hii nikiwa katika ndege. Ni mji uliokuwa na vivutio vingi vya historia ya Zanzibar.
Elimu : Dkt. Biteko Aeleza Mapinduzi Yaliyofanywa na Serikali kwenye Sekta
ya Elimu
-
-Ataka CWT wasigawanyike, ahimiza amani, upendo na mshikamano*
-Serikali kuendelea kuajiri walimu kila mwaka
- Serikali ya Awamu ya Sita yajenga madaras...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment