Muonekano wa Mji Mkongwe wa Zanzibar kama unavyoonekana picha iliopigwa kwa juu wakati nikiwa katika safari zangu nikirudi Zenj hivi karibuni nimebahatika kuipiga picha hii nikiwa katika ndege. Ni mji uliokuwa na vivutio vingi vya historia ya Zanzibar.
Benki ya CRDB yakabidhi madarasa Sekondari ya Kikilo, Shule ya Msingi
Isabe, Kondoa
-
Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25,
2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na
madarasa mengi...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment