Naibu
Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni(suti nyeusi),
akisikiliza maelezo kutoka kwa mmoja wa wajumbe wa kamati ya Ujenzi wa Kituo
cha Polisi .Naibu Waziri huyo pia aliongoza Harambee ya Ujenzi wa kituo hicho
ikiwa ni mkakati wa Mbunge wa Jimbo hilo
Bonnah Kaluwa, kupambana na matukio ya
uhalifu.Naibu Waziri huyo aliongoza
Naibu
Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akizungumza
wakati wa Harambee ya Ujenzi wa Kituo cha Polisi .Wa kwanza kulia ni Mbunge wa
Jimbo la Segerea,Mheshimiwa Bonnah
Kaluwa. Ujenzi wa kituo hicho ni mkakati wa kupambana na matukio ya uhalifu
yanayotokea katika jimbo hilo.
No comments:
Post a Comment