Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Vijana, Wanawake
na Watoto Zanzibar, Mhe:Maudline Cyrus Castico, akiangalia tatani ya Uwanja wa
michezo gombani Kisiwani Pemba, baada ya kukamilika kwake, wakati alipokuwa
katika ziara yake ya siku mbili Kisiwani Pemba, wa kwanza kulia ni meneja wa
uwanja huo Issa Juma Issa.(Picha Na Abdi
Suleiman, PEMBA.)
ELIMU NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAWAFIKIA WANAWAKE MKOANI MBEYA KUPITIA
KONGAMANO LA WANAWAKE NA FURSA ZA KIUCHUMI.
-
Mbeya.
Serikali kupitia Wizara ya Nishati imetoa wito kwa wananchi kuachana na
matumizi ya nishati chafu ya kupikia na kuchagua nishati safi kama njia ya...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment