Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Vijana, Wanawake
na Watoto Zanzibar, Mhe:Maudline Cyrus Castico, akiangalia tatani ya Uwanja wa
michezo gombani Kisiwani Pemba, baada ya kukamilika kwake, wakati alipokuwa
katika ziara yake ya siku mbili Kisiwani Pemba, wa kwanza kulia ni meneja wa
uwanja huo Issa Juma Issa.(Picha Na Abdi
Suleiman, PEMBA.)
Mbunge Ummy Mwalimu alivyoleta tabasamu kwa bodaboda Tanga kupitia leseni
za udereva
-
Na: Dk. Reubeni Lumbagala, Tanga
Usalama wa maisha ya binadamu ni jambo la msingi sana, na ndiyo maana
unapaswa kulindwa kwa gharama zote. Katika suala la...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment