Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Vijana, Wanawake
na Watoto Zanzibar, Mhe:Maudline Cyrus Castico, akiangalia tatani ya Uwanja wa
michezo gombani Kisiwani Pemba, baada ya kukamilika kwake, wakati alipokuwa
katika ziara yake ya siku mbili Kisiwani Pemba, wa kwanza kulia ni meneja wa
uwanja huo Issa Juma Issa.(Picha Na Abdi
Suleiman, PEMBA.)
KWA SASA NYAMA CHOMA NI VINGUNGUTI KWA KUMBILAMOTO TU…NJOO TUINJOI MTU WANGU
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
Ni mwendo wa nyamachoma tu! Hivi ndivyo unavyoweza kuelezea yanayoendelea
katika soko la nyama choma la Kumbilamoto lililopo Vi...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment