Habari za Punde

Mafunzo maalum kwa wajasiriamali kisiwani Pemba

 NAIBU Mkurugenzi Mwakilishi wa UNIDO Tanzania Gerald Runyoro, akizungumza na wajasiriamali wa Kisiwa Cha Pemba, katika mafunzo ya siku tatu huko katika Ukumbi wa chuo cha mafunzo ya amali Vitongoji.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 WAJASIRIAMALI wa Kisiwa Cha Pemba, wakifuatilia kwa makini mafunzo ya ujasiriamali yanayotolewa na UNIDO Tanzania, huko katika ukumbi wa Chuo cha Mafunzo ya Amali Vitongoji Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MWAKILISHI wa Zanzibar Chamber Of Commerce, Dkt Mohammed Hafidh Khalfan, akitoa salamu za jumuiya hiyo kwa wajasiriamali wa kisiwa Cha Pemba, huko katika ukumbi wa Chuo cha Mafunzo ya Amali Vitongoji Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.