Muogeleaji Natalie Sanford Charlotte mwenye umri wa miaka tisa kutoka Morogoro International School alieshiriki michezo nane na kunyakuwa medali sita za dhahabu na mbili za fedha akiwaongoza wenzake na kuwa mshindi wa kwanza kwa upande wa watoto. Picha na Makame Mshenga/Maelezo Zanzibar.
Labels
- .
- `
- 8
- AFYA
- AFYA.
- AJALI
- BIASHARA
- BURUDANI
- DINI
- ELIMU
- FILAMU
- HABARI
- HARUSI
- HOSPITALI
- I
- JAMII
- KATUNI
- Kii
- KILIMO
- KIMATAIFA
- KITAIFA
- Ku
- MAGAZETI
- Mahkamani
- MAISHA
- MAKALA
- MAKALA AFYA.
- MAKALA.
- MATUKIO
- MATUKIO.
- MICHEZO
- MITAANI
- MIUNDOMBINU
- MSAADA
- Ok
- SIASA
- TANGAZO
- TAWA YAWATAKA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA ZA UWEKEZAJI
- TEKNOLOJIA
- UCHUMI
- UTAFITI
- UTALII
- VIDEO
- VIJANA
- VISA INTERNATIONAL YAZINDUA TAWI TANZANIANa Mwandishi wetu 16.07.2025DAR ES SALAAM
- WEZI
Tafsiri ya Lugha
Popular Posts
-
Na Mwandishi Wetu, West Kilimanjaro Jamii imetakiwa kushirikiana kikamilifu katika kudhibiti uharibifu wa mazingira ili kupunguza athari za ...
-
Mshambuliaji wa Timu ya JKU akimpita beki wa Timu ya Muembemakumbi City wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Priemer League mche...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar in...
-
Na Mwandishi Wetu, JAB Vitambulisho vipya vya kidijitali vinavyoendelea kutolewa na Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) vimepokele...
-
Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imefanya ziara kisiwani Pemba kukagua maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 katika Afisi za Tume ya...
-
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufaa Jacobs Mwambegele akizungumza na vyombo vya habari jijini Dar es Salaam leo...
-
Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akizungumza alipokagua Maandalizi ya Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru na Kumbukizi ya Baba wa Taifa kwenye...
-
Mgombea wa Uwakilishi Jimbo la Kiwani Pemba kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg.Hemed Suleiman Abdulla akizungumza na kuomba kura kw...
Mashindano ya wazi ya kuogelea yafanyika Zanzibar
Washiriki wa mashindano ya wazi ya kuogelea Tanzania yaliyofanyika katika Bwawa la Skuli ya Kimataifa Zanzibar (Zanzibar International School) iliyopo Mazizini wakiwa tayari kuanza mashindano hayo.
Muogeleaji Natalie Sanford Charlotte mwenye umri wa miaka tisa kutoka Morogoro International School alieshiriki michezo nane na kunyakuwa medali sita za dhahabu na mbili za fedha akiwaongoza wenzake na kuwa mshindi wa kwanza kwa upande wa watoto. Picha na Makame Mshenga/Maelezo Zanzibar.
Mgeni rasmi wa mashindano ya wazi ya kuogelea Tanzania yaliyofanyika tarehe 8 na 9 mwezi huu, Khamis Abdalla ambae ni Katibu wa Baraza la Taifa la Michezo Zanzibar akifuatilia mashindano hayo.
Waogeleaji wa kigeni walioshiriki mashindano ya kuogelea ya wazi Tanzania yaliyofanyika Zanziba wakichuuano vikali katika mtindo wa back stroke huku wakiwaacha kwa mbali waogeleaji wazalendo.
Muogeleaji bingwa wa mashindano ya wazi ya kuogelea Tanzania kwa upande wa watoto Natalie Sanford Charlotte akivishwa moja ya nishani ya dhahabu aliyonyakuwa katika mashindano hayo. Picha zote na Makame Mshenga/Maelezo Zanzibar.
Muogeleaji Natalie Sanford Charlotte mwenye umri wa miaka tisa kutoka Morogoro International School alieshiriki michezo nane na kunyakuwa medali sita za dhahabu na mbili za fedha akiwaongoza wenzake na kuwa mshindi wa kwanza kwa upande wa watoto. Picha na Makame Mshenga/Maelezo Zanzibar.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
BLOGU RAFIKI
-
-
RC KUNENGE: TUNATAKA PWANI YA KUTATUAMIGOGORO KWA UBUNIFU WA KIMKAKATI - Na Khadija Kalili , Pwani MKUU wa Mkoa wa Pwani Mhe. Abubakar Kunenge, amesema serikali ya Mkoa imelenga kuifanya Pwani kuwa kinara wa ubunifu na utatuz...9 hours ago
-
Elimu : Bajeti za Elimu Zisipuuzwe wakati wa misukosuko ya Kiuchumi na Kisiasa Duniani - Kikwete na Malala Waonya. - Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete na mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel, Malala Yousafzai, wameonya juu ya mwenendo hatarishi duniani wa kupunguza au ku...22 hours ago
-
MAHOJIANO YA TAUSI SUEDI NA AMRI NGOYE KUHUSU CSI KUPITIA KWANZA PRODUCTION NCHINI MAREKANI - Pata habari motomoto kupitia facebook kwa kulike huu ukurasa wetu https://www.facebook.com/pages/Pamojapureblogspotcom/312633955485619?ref=hl7 years ago
Marafiki Duniani
Popular Posts
-
Mwili wa Marehemu unatarajiwa kuwasili Zanzibar majira ya mchana kwa Ndege na kuendelea na taratibu za Maziko yatafanyika katika Mtaa wa...
-
The United Republic Of Tanzania National Examination Council of Tanzania Form Four Examination Results 2017/2018 The National E...
-
Makamanda wa JWTZ wakiwa wamebeba mwili wa Marehemu Waziri Kiongozi wa Kwanza wa Zanzibar na Brigedia Jenerali Mstaaf Ramadhani Haji Faki...
-
Na Miza Kona/Rahma Khamis Maelezo-Zanzibar Jumla ya wanafunzi 16,744 wamechaguliwa kuendelea masomo ya kidatu cha tatu kati ya wanafun...
-
Bwana Harusi Lusajo Sajent Mwangambaku (kushoto), akiwa katika pozi na mke wake Neema Stanley Matowe katika hafla yake ya ndoa iliyofa...
-
Mama mjazito akihangaika na hatimaye kupoteza maisha kutokana na mimba za utotoni..Video ipo hapo chini baada ya maelezo mafupi
-
Hutuba ya Mhe Waziri wa Afya Nd. Mahmoud Thabit Kombo kwa Waandishi wa Habari Katika Maadhimisho ya Siku ya Malaria Dunia Zanzibar, 22...
-
Madawa na Maji vilivyokabidhiwa na Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Balozi Jasem Al-Najem, kwa Wizara ya Afya kwa ajili ya Kambi za K...
No comments:
Post a Comment