Muogeleaji Natalie Sanford Charlotte mwenye umri wa miaka tisa kutoka Morogoro International School alieshiriki michezo nane na kunyakuwa medali sita za dhahabu na mbili za fedha akiwaongoza wenzake na kuwa mshindi wa kwanza kwa upande wa watoto. Picha na Makame Mshenga/Maelezo Zanzibar.
KWA SASA NYAMA CHOMA NI VINGUNGUTI KWA KUMBILAMOTO TU…NJOO TUINJOI MTU WANGU
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
Ni mwendo wa nyamachoma tu! Hivi ndivyo unavyoweza kuelezea yanayoendelea
katika soko la nyama choma la Kumbilamoto lililopo Vi...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment