Meli ya Mizigo kutoka Nje ikiwa na Shehena ya Makontena ya Wafanyabiashara wa Zanzibar ikifunga gati katika bandari hiyo kwa ajili ya kushusha mizigo hiyo kwa mahitaji ya Wananchi wa Zanzibar. Kama inavyoonekana pichani ikifunga gati katika bandari hiyo.
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment