WAZIRI wa Nchi Ofisi
ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe:Mohamed Aboud Mohamed, akisalimiana
na wananchi kisiwa Cha Mwambe Shamiani baada ya kuwasili katika kisiwa Hicho,
kwa ajili ya Uzinduzi wa mradi wa Umeme katika Shamra shamra za Miaka 53 ya
Mapinduzi ya Zanzibar
WAZIRI wa Nchi Ofisi
ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe:Mohamed Aboud Mohamed, akikunjuwa
kitambaa kuashiria uzinduzi wa mradi wa Umeme katika Kisiwa cha mwambe Shamiani
Wilaya ya Chake Chake, katika Shamra shamra za Miaka 53 ya Mapinduzi ya
Zanzibar
AFISA Mdhamini Ardhi,
Maji, Nishati na Mazingira Pemba, Juma Bakari Alawai, akitoa taarifa ya
Kitalaamua katika uzinduzi wa mradi wa Umeme katika kisiwa cha Mwambe Shamiani
Wilaya ya Mkoani, katika Shamra shamra za Miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
MKUU wa Mkoa wa
Kusini Pemba, Mhe:Mwanajuma Majid Abdalla, akizungumza na wananchi wa Kisiwa
Cha Mwambe Shamiani Wilaya ya Mkoani, baada ya kuzinduliwa kwa mradi wa Umeme
katika Shamra shamra za Miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar
WAZIRI wa Nchi Ofisi
ya Makamu wa Pili wa Zanzibar, Mh:Mohamed Aboud Mohamed, akikunjuwa kitambaa
kuashiria uzinduzi wa Ofisi ya Baraza la maji Chake Chake, katika Shamra shamra
za Miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar
VIONGOZI mbali mbali
wa Serikali kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Chake Chake Mhe:Salama Mbarouk Khatib na
Mkuu wa Wilaya ya Mkoani Mhe:Hemed Suleiman Abdalla, akibadilishana mawazo mara
baada ya kufunguliwa kwa Ofisi ya Baraza la Mji Chake Chake, katika Shamra
shamra za Miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar
KATIBU mkuu Ofisi ya
Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara maalumu za SMZ, Radhia Rashid
akizungumza na wananchi wa Chake Chake mara baada ya kufunguliwa kwa Ofisi ya
Baraza la mji Chake Chake, katika Shamra shamra za Miaka 53 ya Mapinduzi ya
Zanzibar
MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba, Mhe:Mwanajuma Majidi Abdalla,
akizungumza na wananchi wa Chake Chake mara baada ya kufunguliwa kwa ofisi ya
Baraza la Mji Chake Chake, katika Shamra shamra za Miaka 53 ya Mapinduzi ya
Zanzibar.(Picha na Habiba Zarali,
PEMBA.)
No comments:
Post a Comment