Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI)
Robert Boaz Mikomangwa (kushoto) akila Kiapo cha Uadilifu kwa viongozi wa umma mbele
ya Kamishna wa Maadili katika Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma. Jaji
Mstaafu Mhe. Harold Reginald Nsekela leo jijini Dar es
Salaam.
Mkurugenzi wa Upelelezi
wa Makosa ya Jinai (DCI) Robert Boaz Mikomangwa akiweka saini katika Hati ya
Kiapo cha Uadilifu leo jijini Dar es Salaam. Anayeshuduia kulia ni Kamishna wa
Maadili katika Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Mstaafu Mhe. Harold Reginald Nsekela leo jijini Dar es Salaam.
Kamishna wa Maadili katika Sekretarieti ya
Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Mstaafu Mhe. Harold Reginald
Nsekela akimkabidhi Hati ya Kiapo cha Uadilifu kwa viongozi wa umma Mkurugenzi
wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) Robert Boaz Mikomangwa
Kamishna Jenerali wa
Magereza Dkt. Juma Ally Malewa(kushoto) akila Kiapo cha Uadilifu mbele ya
Kamishna wa Maadili katika Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma. Jaji
Mstaafu Mhe. Harold Reginald Nsekela leo jijini Dar es
Salaam.
Kamishna Jenerali wa Magereza Dkt. Juma Ally
Malewa(kushoto) akiweka saini katika Hati ya Kiapo cha Uadilifu kwa viongozi wa
umma leo jijini Dar es Salaam. Anayeshuduia ni Kamishna wa Maadili katika
Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Mstaafu Mhe.
Harold Reginald Nsekela
Kamishna wa Maadili
katika Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Mstaafu Mhe. Harold Reginald Nsekela akimkabidhi Hati ya Kiapo cha Uadilifu
kwa viongozi wa umma Kamishna Jenerali wa Magereza Dkt. Juma Ally
Malewa.
Picha zote na: Frank
Shija
No comments:
Post a Comment