Habari za Punde

Balozi Seif alikagua Jengo la Mashariki Palace Hotel & Restaurant

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na baadhi ya Viongozi wa Serikali alipofika kulikagua Jengo la  Mashariki  Palace Hoteli Restaurent liliopo Pembezoni mwa Skuli ya Msingi Forodhani Mjini Zanzibar.
 Balozi Seif kati kati akiwa na Waziri wa Ujenzi Balozi Ali Karume Kulia yake pamoja na Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Mh. Ayoub Mohamed Mahmoud kushoto yake na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hifadhi ya Mji Mkongwe wa Zanzibar Nd. Issa Sarboko Makarani wakilikagua jengo hilo mapema asubuhi.

 Balozi Seif kati kati akiwa na Waziri wa Ujenzi Balozi Ali Karume Kulia yake pamoja na Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Mh. Ayoub Mohamed Mahmoud kushoto yake na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hifadhi ya Mji Mkongwe wa Zanzibar Nd. Said Sarboko Makarani wakilikagua jengo hilo mapema asubuhi.

  Balozi Seif na Viongozi mbali mbali aliyofuatana nao wakipanda ngazi ndani kulikagua jengo hilo.
 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hifadhi ya Mji Mkongwe wa Zanzibar Nd. Issa Sarboko kushoto akimueleza Balozi Seif na baadhi ya Viongozi hatua iliyochukuliwa na Taasisi yake katika kulifanyia matengenezo makubwa Jengo Mashariki  Palace Hoteli Restaurent  liliopo Forodhani.
 Balozi Seif Ali Iddi akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Viongozi wa Serikali mara baada ya kulikagua jengo la Mashariki Hoteli Palace.
Balozi Seif akiagana na baadhi ya Viongozi mara baada ya ya kulikagua jengo la Mashariki Hoteli Palace.

Picha na – OMPR – ZNZ.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.