Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,
Meja Jenerali Projest Rwegasira, akiongoza kikao cha ndani kilichoshirikisha Idara
zilizopo ndani ya wizara.Kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa wizara, jijini Dar es Salaam
Kamishna wa Jeshi la Magereza Divisheni ya
Utawala na Fedha,Gaston Sanga, akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya
Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira, wakati wa kikao cha ndani kilichoshirikisha Idara
zilizopo ndani ya wizara.Kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa wizara, jijini Dar es
Salaam.Kulia ni Kamishna wa Fedha Jeshi
la Polisi Albert Nyamuhanga
Mkurugenzi wa Idara ya Wakimbizi, Harrison Mseke
na Afisa Tawala wa Idara hiyo,Jenita Ndone(Kulia), wakifuatilia kwa makini kikao
cha ndani cha Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, kilichoongozwa na Katibu Mkuu
wa wizara hiyo, Meja Jenerali Projest Regasira (hayupo pichani) .Kikao hicho
kimefanyika katika ukumbi wa wizara,
jijini Dar es Salaam
Maafisa
kutoka idara ya Uhamiaji wakifuatilia mazungumzo yaliyokuwa yakitolewa na Katibu
Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest
Rwegasira(hayupo pichani) wakati wa kikao cha ndani kilichoshirikisha Idara
zilizopo ndani ya wizara. Kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa wizara, jijini Dar es
Salaam.
Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
IMEANDALIWA NA KITENGO CHA
MAWASILIANO SERIKALINI-WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
No comments:
Post a Comment