Habari za Punde

MAJALIWA AANZA ZIARA WILAYANI KITETO

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akivalishwa skafu baada ya kuwasili  mjini Kibaya kuanza ziara ya kazi wilayani Kiteto.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimina na viongozi wa dini baada ya kuwasili mjini Kibaya kuanza ziara ya wilaya ya Kiteto 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi wa kijiji cha Engusero wilayani Kiteto waliofunga  barabara wakitaka asimame kuwasalimia. Alikuwa kitoka Dodoma kwenda Kiteto kwa ziara ya kazi mkoani Manyara  Februari 15, 2017
Baadhi ya Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao  mjini Kibaya
Baadhi ya Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao  mjini Kibaya
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea  kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Joel Bendera tarifa ya  mkoa wa Manyara  baad ya kusomewa mjini Kibaya katika siku ya kwanza ya ziara yake wilayani Kiteto
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Kiteto mjini Kibaya akiwa katika siku ya kwanza ya ziara ya mkoa wa Manyara, Februari 15, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.