Msanii kutoka Nchi Somaliland Sahra Halgan Trio akitowa burudani ya muziki wa Kisomali katika viwanja vya bustani ya Forodhani Zanzibar wakishiriki katika Tamasha la Busara Zanzibar linaloendela katika viwanja hiyo na vya Mambo Club Ngome Kongwe Zanzibar kwa kuwashirikisha wasanii 400 kutoka katika Nchi za Afrika.
INEC : Taasisi na Asasi za Elimu ya Mpiga Kura Zatakiwa kuzingatia Sheria
-
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs
Mwambegele akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa siku moja wa Tume
na a...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment