Habari za Punde

Waandishi wa Habari Wafanya Ziara Kutembelea Mradi wa Uwekaji wa Tuta Kuzuia Kuingia Maji ya Chumvi Katika Bonde la Mpunga.

Waandishi wa habari wa Vyombo mbali Mbali Kisiwani Pemba, wakitembelea Mradi wa uwekaji wa tuta wakiwa juu ya Tuta la kuzuwia maji ya Chumvi yasiingie katika mashamba ya kilimo cha mpunga huku wakipatiwa maelezo na Naibu wa Sheha ya Ndagoni juu ya

mradi huo.

 Tuta la kuzuwia maji ya Chumvi katika mashamba ya mpunga kisiwani Pemba kuzuiya maji hayo yasifike katika mashamba hayo.
Walengwa wa kunusuru kaya maskini , ambao pia wamepatiwa ajira ya muda kwa ajili ya kupiga Tuta la kuzuwia maji ya Chumvi yasiingie katika maeneo yao ya Kilimo katika shehia ya Ndagoni wakiwa tayari kuzungunza

na Waandishi wa habari huko Bondeni kwao KAGU.


Mwananchi wa Shehia ya Ndagoni  Pemba, Mussa Suleiman Hamad ,akielezea matumainio yake baada ya kukamilika kwa mradi wa Tuta la kuzuwia maji ya chumvi yasiingie katika mashamba yao ambao zaidi ya

wakulima 350 wanatarajiwa kufaidia na mradi huo.(Picha na Bakar Mussa-Pemba.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.