Naibu Waziri wa Habari, Utalii , Utamaduni na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Bichumu Kombo Khamis, akikabidhi mashine ya Photo copy kwa Uongozi wa Jumuiya za Wazazi Wilaya ya Micheweni na Wete katika mkoa wa Kaskazini Pemba
Naibu Waziri wa Habari , Utalii , Utamaduni na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Bichumu Kombo Khamis, akikabidhi vifaa vya Michezo kwa Uongozi wa Vijana wa Mkoa Kaskazini Pemba.
Naibu Waziri wa Habari ,Utalii, Utamaduni na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Bichumu Kombo Khamis, akikabidhi mashine za Kompyuta kwa Uongozi wa Wazazi mkoa wa Kusini Pemba.
Picha na Khatib Mjaja.
No comments:
Post a Comment