Habari za Punde

Naibu Waziri Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto atembelea vitua vya mayatima kisiwani Pemba

 DAHALIA la kituo cha kulelea watoto mayatima cha Alfa Nuraniyya Pujini Chake Chake, ambapo Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto ilitoa agizo la kufungwa kituo hicho kutokana na mazingira machafu. Picha na ZUHURA JUMA, PEMBA
 WATOTO wanaoishi katika kitucho cha kulelea watoto yatima kilichopo Mabaoni Chake Chake walikutwa wakiangalia televisheni wakati wa ziara ya Naibu Waziri Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto Mhe. Shadya Mohamed Suleiman. Picha Na ZUHURA JUMA PEMBA
 NAIBU Waziri Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto Mhe. Shadya Mohamed Suleiman, akipata maelelezo kutoka kwa Mlezi wa watoto mayatima katika kituo cha Mabaoni Chake Chake Rashid Abdulrahma Yussuf, katikati ni Afisa Mdhamini wa Wizara hiyo Khadija Khamis Rajab. Picha Na ZUHURA JUMA, PEMBA 
 NAIBU Waziri Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto Mhe. Shadya Mohamed Suleiman akipata maelezo mafupi  kwa msimamizi wa ujenzi wa Wizara hiyo unavyoendelea huko Gombani Chake Chake. Picha Na ZUHURA JUMA, PEMBA

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.