Wananchi katika Mtaa wa Kwahani wakiangalia nyumba iliyoteketea kwa moto uliotokea jana usiku katika majira ya saa 2 usiku na kuteketeza vitu vyote viliokuwa katika Nyumba hiyo hakuna kitu kilichoweza kuokolewa katika ajali hiyo ya moto na Kunusuru wakazi wake na hakuna Mtu aliyejeruhiwa.
MUHIMBILI MSHINDI WA KWANZA HUDUMA ZA AFYA SABASABA 2025.
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili [Upanga & Mloganzila] imeibuka mshindi wa
kwanza katika kundi la watoa huduma za afya katika Maonesho ya 49 ya
Biashara ya Ki...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment