Wananchi katika Mtaa wa Kwahani wakiangalia nyumba iliyoteketea kwa moto uliotokea jana usiku katika majira ya saa 2 usiku na kuteketeza vitu vyote viliokuwa katika Nyumba hiyo hakuna kitu kilichoweza kuokolewa katika ajali hiyo ya moto na Kunusuru wakazi wake na hakuna Mtu aliyejeruhiwa.
DKT.SWARE SEMESI- NEMC ASHIRIKI UZINDUZI WA MFUMO W KIDIGITALI NCHINI GHANA
-
NEMC imeshiriki uzinduzi wa mfumo wa kidigitali wa kufuatilia uchafuzi wa
mazingira(online continuous emissions monitoring System) ambao umelenga
kurahisis...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment