Habari za Punde

Semina ya siku mbili kwa wazalishaji na watumiaji wa takwimu

 MTAKWIMU Mkuu wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mayasa Mahafudhi Mwinyi akifungua semina ya siku mbili kwa wazalishaji na watumiaji wa takwimu, iliofanyika uwanja wa Gombani Chakechake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 WASHIRIKI wa semina ambao ni wazalishaji na watumiaji wa takwimu kisiwani Pemba, wakisikiliza mada kwenye semina ilioandaliwa na Afisi ya Mtakwimu mkuu wa Serikali, ili kuwaeleza washiriki hao umuhimu na faida za takwimu sahihi, semina hiyo iliofayika uwanja wa Gombani Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 MDHAMINI wa Afisi ya Mtakwimu Mkuu wa serikali afisi ya Pemba Haroub Ali Massoud, akielezea umuhimu wa takwimu kwa wajumbe wa semina juu ya umuhimu wa matumizi ya takwimu, semina hiyo ilifanyika uwanja wa Gombani Chakechake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 MJUMBE kutoka mtandao wa asasi za kiraia Pemba PACSO Mohamed Najim akiuliza suali kwenye semina ya umuhimu wa takwimu iliotayarishwa na Afisi ya Mtakwimu mkuu wa serikali, semina hiyo ya siku mbili imefanyika uwanja wa Gombani Chakechake kisiwani humo, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

MJUMBE kutoka hospital ya Bah-ja Chakechake Pemba, Mohamed Khamis akiomba ufafanuzi juu ya ukusanyaji wa takwimu, kwenye semina ilioandaliwa na Afisi ya Mtakwimu mkuu wa serikali, na kufanyika uwanja wa Gombani Chakechake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).     

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.