Mgeni Rasmin katika mchezo wa Bonaza la kuadhimisha miaka 40 ya kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi Waziri wa Habari Utalii Utamaduni na Michezo Zanzibar Mhe Rashid Ali Juma akimkabodho Kombe la Ushindi wa Bonaza hilo Nahodha wa Timu ya CCM Zanzibar Suleiman Haroub Bapee baada ya kuifunda Timu ya Wasanii wa Zenj Flava kwa penenti 3-1 mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan baada ya kutoka sare ya bao 1-1.
TAASISI YA LIFE AND HOPE YAFUNGUA SOBER HOUSE MPYA ILEMELA, JIJINI MWANZA
-
Taasisi ya Life and Hope Rehabilitation Organization (LHRO) imefungua rasmi
nyumba mpya ya utengemao (Sober House) kwa ajili ya waraibu wa dawa za
kulevy...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment