Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Wanawake Ben Bella wakifuatilia matokeo ya mitihani ya wanafunzi wa kidatu cha nne yaliobandikwa katika ubao wa matangazo skulini hapo. Baada ya kutangazwa matokeo hiyo na Baraza la Mitihani la Taifa juzi.
Wafanyakazi Manyara walia na kikotoo, mshahara mdogo.
-
Na John Walter -Manyara
Wafanyakazi wameiomba serikali kushughulikia changamoto waliyonayo kwa muda
mrefu juu ya kikokotoo cha mafao pindi wanapostaafu....
1 hour ago
No comments:
Post a Comment