Habari za Punde

Wapenzi wa Timu ya Simba Amani Milingotini Zanzibar Wakifuatilia Mchezo wa Timu yao wa Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) lililofanyika Uwanja wa Taifa Wakiangalia katika Luninga.

Wapenzi wa Timu ya Simba Zanzibar tawi la Amani milingotini Zanzibar wakifuatilia mchezo wa Timu yao ilipokuwa ikicheza na Timu ya Afrika Lyon, mchezo uliofanyika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam Timu yao imefanikiwa kuifunga Timu ya Afrika Lyon kwa bao moja lililofungwa mchezao Laudit Mavungo katika dakika ya 57 ya mchezo huo kipindi cha pili. Na kufanikiwa kuingia Robo Fainali ya Michuano hiyo ya Kombe la Shirikisho (TFF). Timu ya Simba imekuwa timu ya kwanza kuingia katika hatua ya robo fainali ya michuano hiyo.     


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.