Wapenzi wa Timu ya Simba Zanzibar tawi la Amani milingotini Zanzibar wakifuatilia mchezo wa Timu yao ilipokuwa ikicheza na Timu ya Afrika Lyon, mchezo uliofanyika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam Timu yao imefanikiwa kuifunga Timu ya Afrika Lyon kwa bao moja lililofungwa mchezao Laudit Mavungo katika dakika ya 57 ya mchezo huo kipindi cha pili. Na kufanikiwa kuingia Robo Fainali ya Michuano hiyo ya Kombe la Shirikisho (TFF). Timu ya Simba imekuwa timu ya kwanza kuingia katika hatua ya robo fainali ya michuano hiyo.
DKT.SWARE SEMESI- NEMC ASHIRIKI UZINDUZI WA MFUMO W KIDIGITALI NCHINI GHANA
-
NEMC imeshiriki uzinduzi wa mfumo wa kidigitali wa kufuatilia uchafuzi wa
mazingira(online continuous emissions monitoring System) ambao umelenga
kurahisis...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment