Wapenzi wa Timu ya Simba Zanzibar tawi la Amani milingotini Zanzibar wakifuatilia mchezo wa Timu yao ilipokuwa ikicheza na Timu ya Afrika Lyon, mchezo uliofanyika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam Timu yao imefanikiwa kuifunga Timu ya Afrika Lyon kwa bao moja lililofungwa mchezao Laudit Mavungo katika dakika ya 57 ya mchezo huo kipindi cha pili. Na kufanikiwa kuingia Robo Fainali ya Michuano hiyo ya Kombe la Shirikisho (TFF). Timu ya Simba imekuwa timu ya kwanza kuingia katika hatua ya robo fainali ya michuano hiyo.
Kutoka Simu Janja Mpaka Luninga: Umuhimu wa Usalama wa Taarifa Zako kwa
Kila Kifaa
-
Nani alishawahi kufikiria kwamba itafika siku ambayo vile unavyolinda simu
yako dhidi ya uhalifu wa mtandaoni ndivyo itakavyokuja kuwa sawa na kwa
luninga...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment