Moja ya Kivutio kwa Wananchi wa Zanzibar na wageni wanaotembelea katika mji mkongwe wa katika eneo la bahari ya forodhani hivutiwa na nyumba zikiwa zinaelea katika pwani hiyo hutowa hutuma ya Kitalii na mgahawa kwa wananchi wanaofika katika nyumba hizo kwa kupata huduma mbalimbali za vyakula na vinywaji.Kama zinavyoonekana katika eneo hilo la pwani ya forodhani zikielea.
SIX DECADES STRONG, CELEBRATING THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA'S PROUD
UNION ANNIVERSARY
-
*60 years of the United Republic of Tanzania, We are united and
Strengthened for the Development of Our Nation.*
1. Introduction.
The United Republic ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment