Moja ya Kivutio kwa Wananchi wa Zanzibar na wageni wanaotembelea katika mji mkongwe wa katika eneo la bahari ya forodhani hivutiwa na nyumba zikiwa zinaelea katika pwani hiyo hutowa hutuma ya Kitalii na mgahawa kwa wananchi wanaofika katika nyumba hizo kwa kupata huduma mbalimbali za vyakula na vinywaji.Kama zinavyoonekana katika eneo hilo la pwani ya forodhani zikielea.
Wazalishaji wa Pombe Walalamikia Kuenea kwa Pombe Haramu Nchini
-
Tanzania ni miongoni mwa nchi barani Afrika zenye matumizi makubwa zaidi ya
pombe haramu, hali inayoleta hatari kubwa kwa afya ya umma, wataalamu
wameony...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment