Moja ya Kivutio kwa Wananchi wa Zanzibar na wageni wanaotembelea katika mji mkongwe wa katika eneo la bahari ya forodhani hivutiwa na nyumba zikiwa zinaelea katika pwani hiyo hutowa hutuma ya Kitalii na mgahawa kwa wananchi wanaofika katika nyumba hizo kwa kupata huduma mbalimbali za vyakula na vinywaji.Kama zinavyoonekana katika eneo hilo la pwani ya forodhani zikielea.
RAIS DK. SAMIA ACHANGIA SH. MILIONI 50 KUCHANGIA UJENZI KANISA KATOLIKI.
-
-Wasira akabidhi kwa niaba ya Rais Samia
RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan ametoa sh. milioni 50 kuchaia ujenzi wa Kanisa
Katoliki Parokia ya Nyalikungu wilay...
31 minutes ago
No comments:
Post a Comment