Moja ya Kivutio kwa Wananchi wa Zanzibar na wageni wanaotembelea katika mji mkongwe wa katika eneo la bahari ya forodhani hivutiwa na nyumba zikiwa zinaelea katika pwani hiyo hutowa hutuma ya Kitalii na mgahawa kwa wananchi wanaofika katika nyumba hizo kwa kupata huduma mbalimbali za vyakula na vinywaji.Kama zinavyoonekana katika eneo hilo la pwani ya forodhani zikielea.
Msajili hazina aongoza mazungumzo ya uwekezaji na kampuni ya Uswisi
-
Abidjan. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, leo, Mei 14, 2025,
ameongoza mazungumzo ya kitaalamu kati ya Serikali ya Tanzania na Bw. Soren
Toft, Af...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment