Chama cha Mpira wa Miguu Zanzibar ZFA leo kimepata uanachama rasmin wa CAF kwa kupigiwa kura nyingi na Wajumbe wa Mkutano huo uliofanyika Nchini Ethiopia
Na kuwa Mwanachama rasmin leo kwa wajumbe wa mkutano huo kupiga kura na kuipa ushindi wa kura 51 wajumbe wote walikuwa 54.Wajumbe 3 wamepiga kura ya hapana
Good news,tutegemee migogoro Zaidi ndani ya ZFA
ReplyDelete