Habari za Punde

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Polepole Azungumza na Waandishi wa Habari.

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Humphrey Polepole, akzungumza na Waandshi wa habari katika Ukumbi wa Sekretarieti, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam,leo. (Picha na Bashir Nkoromo)
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Humphrey Polepole, akisisitiza jambo wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali katika Afisi Ndogo ya CCM lumumba jijini Da es Salaam.katika Ukumbi wa Sekretarieti, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba. (Picha na Bashir Nkoromo)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.