Habari za Punde

Mama Mwanamwema Shein Mgeni Rasmin Katika Maadhimisho ya Siku ya Mwanamke Duniani Yalioandaliwa na Taasisi ya Zanzibalicious Women Group Zanzibar Hoteli ya Double Tree Shangani.

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akipokelea na kukabidhiwa mauwa na Viongozi wa Taasisi ya Zanzibalicious Women Group ilioandaa Chakula Maalumu kwa kuadhimisha Siku ya Mwanake Duniani iliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Double Tree Shangani Zanzibar.
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akisalimiana na Viongozi wa Taasisi ya Zanzibalicious Women Group alipowasili katika viwanja vya hoteli ya Double Tree shangani Zanzibar kuhudhuria hafla ya kuadhimisha Siku ya Mwanamke Duniani ilioandaliwa na Taasisi hiyo.
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akisalimiana na Meneja wa Hoteli ya Double Tree Bi. Mary Njoroge alipowasili katika viwanja vya hoteli hiyo.
Mwanachama wa Taasisi ya Zanzibalicious Women Group Bi Mwanajuma Hussein akizungumza wakati wa hafla hiyo ya kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani katika ukumbi wa hoteli ya DoubleTree Shangani Zanzibar.
Mzee kutoka Kijiji cha Chani Mohamad Khamis Haji akisoma dua kabla ya kuaza kwa hafla hiyo ya kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani. 
Mwakilishi wa Taasisi ya Zanzibalicious Women Group Bi Shangwe Ramadhan Yussuf akisoma risala na kuelezea madhumuni ya Taasisi yao kwa Jamii wakati wa hafla hiyo. 
Mwakilishi wa Taasisi ya Zanzibalicious Women Group Bi Shangwe Ramadhan Yussuf akisoma risala na kuelezea madhumuni ya Taasisi yao kwa Jamii wakati wa hafla hiyo. 
Mwanachhama wa Taasisi ya Zanzibalicious Women Group Bi Mwanajuma Hussein akimkabidhi zawadi Mlezi wa Taasisi hiyo Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, wakati wa hafla ya kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Double Tree Shangani Zanzibar.
Wageni waalikwa katika hafla ya kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani wakishangilia. 
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akipokea Cheti cha heshima kwa Ushiriki wake katika Jamii akikabidhiwa na Mwanachama wa Taasisi ya Zanzibalicious Women Group Zanzibar Bi Mwanajuma Hussein, wakati wa hafla hiyo ya kuadhimisha Siku ya Wawanawake Duniani.
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akionesha Cheti chake alichokabidhiwa na Taasisi hiyo kwa kuthamini mchango wake kwa Jamii.kushoto Waziri wa Afya Zanzibar Mhe Mahmoud Thabit Komba na kulia Waziri wa Ajira Vijana Uwezeshaji wa Wazee Wanawake na Watoto Maudline Castico.  
Waziri wa Afya Zanzibar Mhe Mahmoud Thabit Kombo akizungumza wakati wa hafla hiyo ya kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani ilioandaliwa na Taasisi ya Zanzibalicious Women Group Zanzibar katika ukumbi wa hoteli ya Double Tree Shangani Zanzibar.
Waziri wa Ajira Vijana Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto Mhe. Maudline Castico kazungumza kabla ya kumkaribisha Mke wa Rais wa Zanzibar kuzungumza na Wanachama wa Taasisi hiyo na Wananchi walioalikwa hafla hiyo kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani ilioandaliwa na Zanzibalicious Women Group Zanzibar. 

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akizungumza wakati wa hafla hiyo akitowa nasaha zake kwa Uongozi wa Taasisi ya Zanzibalicious Women Group wakati wa kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani. ilioadhimishwa katika ukumbi wa hoteli ya Double Tree Shangani Zanzibar.


Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akizungumza wakati wa hafla hiyo akitowa nasaha zake kwa Uongozi wa Taasisi ya Zanzibalicious Women Group wakati wa kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani. ilioadhimishwa katika ukumbi wa hoteli ya Double Tree Shangani Zanzibar.
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akikabidhi mchango wake kwa Taasisi ya Zanzibalicious Women Group shilingi milioni moja kwa Kiongozi wa Taasisi hiyo Shangwe Ramadhani Yussuf wakati wa hafla hiyo. iliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Double Tree Shangani Zanzibar.













 




No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.