Mchezaji wa Timu ya Ngome akimpita mchezaji wa Timu ya SMZ wakati wa mchezo wa Mpira wa Kikapu Wanawake uliofanyika katika Uwanja wa Nyuki Maisara Zanzibar. Timu ya Ngome imeshinda mchezo huo kwa Vikapu 67 - 47.
SERENGETI MWENYEJI MAADHIMISHO SIKU YA URITHI WA DUNIA: ELIMU YA UHIFADHI
KUTOLEWA KILA KONA
-
Na. Brigitha Kimario- Serengeti
HIFADHI ya Taifa ya Serengeti ambayo ni miongoni mwa Hifadhi zenye hadhi ya
urithi wa Dunia tangu mwaka 1981 inataraj...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment