Mkurugenzi kinga na elimu ya Afya Zanzibar Dkt. Fadhil Mohammed Abdalla akitoa maelezo kwa wandishi wa habari na kumkaribisha Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Bi. Harusi Said Suleiman katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika ukumbi wa Wizara hiyo Mjini Unguja.
Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Bi. Harusi Said Suleiman akitoa maelezo kwa waandishi wa habari kuhusu mapambano zidi ya Kifua Kikuu katika ukumbi wa Wizara ya Afya.
Mkuu wa kitengo cha Kifua Kikuu (TB) Zanzibar Dkt. Khamis Abubakar Suleiman akijibu maswali yaliyoulizwa na waandishi wa habari katika mkutano wao.
Picha na Makame Mshenga-Maelezo
No comments:
Post a Comment