STATE
HOUSE ZANZIBAR
OFFICE OF
THE PRESS SECRETARY
PRESS RELEASE
Dodoma 11.03.2017

MWENYEKITI wa CCM Taifa ambaye pia ni Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli amewaeleza Wajumbe
wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kuwa mabadiliko ndani ya CCM hayaepukiki kwani
hatua hiyo itakisaidia chama hicho kuimarika zaidi.
Mwenyekiti huyo wa CCM
aliyasema hayo wakati alipokuwa akifungua kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa
(NEC), huko katika ukumbi wa Makao Makuu ya chama hicho mjini Dodoma, ikiwa ni
miongoni mwa matayarisho ya mkutano mkuu maalum wa CCM unaotarajiwa kufanyia
hapo kesho mjini hapa.
Katika maelezo yake
Mwenyekiti huyo wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.
Magufuli alisema kuwa mabadiliko ndani ya chama hicho ni suala la lazima.
Aliongoza kuwa CCM ni
miongoni mwa vyama vikongwe katika Bara la Afrika na tayari kimeshafanya mambo
mengi pamoja na mabadiliko mengi ambayo yamesaidia kukiimarisha chama hicho.
Alisema kuwa CCM ni miongoni
mwa chama kikongwe katika bara la Afrika sawa na chama cha ANC ambacho kina Wajumbe
110, Chama kikuu cha siasa cha nchini China CCP, nchi ambayo ina watu Bilioni
moja wajumbe wake wa NEC ni 205, hivyo mabadiliko ndani ya CCM ni ya lazima hasa
ikizingatiwa idadi kubwa ya wajumbe wake wa NEC.
Hivyo, Mwenyekiti huyo
wa CCM alieleza kuwa ipo haja kwa baadhi ya nyadhifa ndani ya chama hicho
zikapunguzwa kwa lengo la kukiimarisha zikiwemo nyadhifa za Makatibu wa CCM wa
Mikoa.
Alisisitiza kuwa hatua
hiyo pia, itapunguza baadhi ya migogoro ambayo huwa inatokea wakati wa uchaguzi
ndani ya chama hicho.
Pamoja na hayo,
Mwenyekiti huo wa CCM aliendelea kusisitiza kuwa kwa vile chama hicho ni
kikubwa ni lazima kifanye mabadiliko makubwa kwa faida ya chama hicho.
Alieleza kuwa wananchi
walio wengi wenye vyama na wasio na vyama wamekuwa wakijiuliza na kutafuta
habari za CCM katika mkutano huo mkuu maalum wa chama hicho unaendeleaje na
nini kinafanyika.
Alisema kuwa hatua hiyo
ni kuonesha wazi kuwa CCM ni chama kikubwa na kikongwe hapa nchini hivyo
kufanya mabadiliko ni suala la lazima.
Sambamba na hayo,
Mwenyekiti huyo wa CCM Taifa alieleza kuwa mkutano huo wa NEC una kazi moja
kubwa ya kufanya mapitio ya mkutano wa NEC uliofanyika mjini Dar-es-Salaam
tarehe 13, mwezi Disemba mwaka huu kwa lengo la kuja kutoa ripoti katika
Mkutano Mkuu Maalum wa chama hicho unaotarajiwa kufanyika hapo kesho.
Baada ya hapo Katibu
kilikuwa na mambo manne makuu, marekebisho ya Katiba , wajumbe wote wameunga mageuzi
ya kukiimarisha chama na kuhakikisha kinatoa viongozi, kimepitisha kwa sauti
moja ya mapendekezo ya kanuni ya CCM kwa ujumla wake na kwa sauti moja, na hiyo
imeenda sambamba na kanuni za chama hicho ikiwa ni Jumuiya zote, ratiba ya
CCM,inaanza mwezi wa tatu mwishoni hadi mwezi wa 12. Pia ulipokea taatrifa ya
masuala ya kimaadili unayowahusu viongozi wa chama cha Mapinduzi ambao kwa
nyakati tofauti wamekeuka misingi ya uongozi na kanuni za viongozi na maadili
ya CCM.
Uwamuzi uliofanyika leo
umezingatia kuwa wote wanaCCM watakaokwenda kinyumea na kukihujumu na
kujihusishwa na rushwa na ubadhirifu na tabia zozote zille zinazokwenda kinyume
na lengo ni kuhakikisha kuwa
Leo wamechukua maamuzi
kwa baadhi ya wanachama, na kuwataka kuwa meindendo yao haiwakisi imani na
malengo ya CCM, na miendendo ambayo haiakisi misingi ya vhama hichio na vikao
havitakuwa na ajizi ya kuchukua hatua wakati wowote, na hata katika muhtaza wa
chama hicho ili kuhakikisha chama hicho kinaimarika.
Humphrey Polepole
Geska Mkasa
Agenda ni kufungua
mkutano, kurekebisha
Rajab
Mkasaba, Ikulu Zanzibar
Postal Address: 2422 Tel.:0777427449. Fax:
024 2231822
E-mail: rajabmkasaba@yahoo.co.uk
No comments:
Post a Comment