Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Wahariri na Waandishi wa habari wa Vyombo mbali mbali vya Serikali na Binafsi katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar leo,sambamba na kutimiza mwaka mmoja tokea kuapishwa kushika nafasi ya Urais wa Zanzibar. [Picha na Ikulu] 23/03/2017.
Baadhi ya waandishi wa habari wa Vyombo mbali mbali vya Serikali na Binafsi wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipozungumza nao leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar leo,akiwa ametimiza mwaka mmoja tokea kuapishwa kwake kushika nafasi ya Urais
Baadhi ya waandishi wa habari wa Vyombo mbali mbali vya Serikali na Binafsi wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipozungumza nao leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar leo,akiwa ametimiza mwaka mmoja tokea kuapishwa kwake kushika nafasi ya Urais
Mwaandishi wa Habari mwandamizi wa ITV,Redio One Sterio Farouk Qarim akiuliza suala kuhusiana na Mafuta wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akizungumza na Wahariri na Waandishi wa habari wa vyombo mbali mbali ambapo tayari ameshatimiza mwaka mmoja tokea kuapishwa kuwa Rais wa Zanzibar,mazungumzo hayo yalifanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,
Mkurugenzi wa Shirika la Habari la ZBC Aiman Duwe akiuliza suala linalohusiana na pencheni ya Wazee wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akizungumza na Wahariri na Waandishi wa habari wa vyombo mbali mbali leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,sambamba na kutimiza mwaka mmoja tokea kuapishwa kushika nafasi yake ya Urais, [Picha na Ikulu] 23/03/2017.
No comments:
Post a Comment