ASALAAM ALAIKUM WARAHMATULLAH WABARAKATU
Ungozi wa Al Madrasat Rahman na Masjid Qubah Segerea mwisho,Dar unawakumbusha waumini kuwa ile sherehe ya Maulid ya Kumswalia Mtukufu wa darja Mtume Muhammad (S.A.W) kuwa itafanyika Jumaamosi ya wiki hii tarehe 11.3.2017 Segerea Mwisho jijini
Dar es salaam.
RATIBA: Kuanzia Saa 4 asubuhi maulid ya Kina mama(wanawake).
Saa 10 alahsir Wanafunzi wa Madrasa watasoma Quran
Saa 2 usiku baada ya swalat inshaa Maulid ya jumuiya yakiongozwa na wanaume mnakaribishwa wote.
Wasiliana nasi simu 0622617961 au 0712407032 kimataifa piga +255 622617961
No comments:
Post a Comment