MSIMAMIZI wa Mitambo ya Umeme katika Gridi ya Taifa
kutoka ZECO Kisiwani Pemba, Haji Hamad Shaame akitoa maelekezo ya mitambo ya
umeme wa Gridi ya Taifa Inavyofanya kazi, wakati walipotembelea kituo cha
kusambazia na kupolea umeme Wesha, katika ziara ya waandishi wa habari
kuangalia vituo vya majaribio ya Umeme wa nishati mbadala Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA.)
MSIMAMIZI wa Mitambo ya Umeme katika Gridi ya Taifa
kutoka ZECO Kisiwani Pemba, Haji Hamad Shaame akitoa maelekezo ya mitambo ya
umeme wa Gridi ya Taifa Inavyofanya kazi, wakati walipotembelea kituo cha
kusambazia na kupolea umeme Wesha, katika ziara ya waandishi wa habari
kuangalia vituo vya majaribio ya Umeme wa nishati mbadala Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA.)
WAANDISHI wa Habari Kisiwani Pemba, wakitembelea
moja ya kituo cha Majaribio cha Umeme wa Nishati Mbadala Mwambe Kisiwani Pemba,
kuangalia maendeleo ya mradi huo wa nishati Mbadala.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA.)
MENEJA wa Mradi wa Nishati Mbadala Maulid Shiraz
Hassan, akiwaonyesha waandishi wa habari Kisiwani Pemba, vifaa vya umeme wa
Upepo vilivyomo katika mmoja wa minara ya nishati ya Umeme mbadala na matumizi
bora ya Nishati, mnara huo wenye urefu wa mita 70 ulioko Mwambe Wilaya ya
Mkoani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA.)
MSHAURI mwelekezi wa Mambo ya Habari Zanzibar Ali
Rashid Salim, akitoa maelekezo kwa waandishi wa habari, juu ya kuandika habari
sahihi zinazohusiana na nishati Mbadala mara baada ya kutembelea vituo vya
majaribio ya Umeme Upepo na Jua Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA.)
MWANDISHI wa Hbari Mwandamizi Kisiwani Pemba, Said
Mohamed Ali akitoa nasaha kwa waandishi wa habari wenzake Pemba, mara baada ya
kumaliza ziara ya kutembelea vituo vya Majaribio ya Umeme wa Nishaii mbadala
Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,
PEMBA.)
No comments:
Post a Comment