NAIBU
Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk. Juma Abdallah Mabodi akisalimiana na Mgeni wake
ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha
Kikomunisti cha China (CPC) Guo Jinlong alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Abeid Amani Karume kwa ziara ya siku moja Zanzibar
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Guo Jinlong
geMjumbe akimsalimiana mtoto aliyeandaliwa kwa ajili ya kumvalisha shada la
maua Naifat Fauz, alipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani
Karume Zanzibar
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Guo Jinlong akimsalimia Waziri wa Ujenzi , Mawasiliano na Usafirishaji Mhe. Balozi Ali Karume alipowasili katika Uwanja wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume kwa ziara ya siku moja Mjini Zanzibar.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Guo Jinlong akimsalimia na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe Ayoub Mohammed Mahmoud alipowasili katika Uwanja wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume kwa ziara ya siku moja Mjini Zanzibar.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Guo Jinlong akimsalimia na Mnadhimu wa Baraza la Wawakilishi wa Chama cha CCM Baraza la Wawakilishi na Mwakilishi wa Jimbo la Kwahani Mhe Ali Salum, alipowasili katika Uwanja wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume kwa ziara ya siku moja Mjini Zanzibar.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Guo Jinlong akimsalimia na Meya wa Mji wa Zanzibar Mhe Khatib Abdurahaman Khatib,alipowasili katika Uwanja wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume kwa ziara ya siku moja Mjini Zanzibar.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Guo Jinlong akimsalimia na Kiongozi wa Chama cha Mapinduzi Zanzibar Bi Waride Bakari Jabu,alipowasili katika Uwanja wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume kwa ziara ya siku moja Mjini Zanzibar.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Guo Jinlong akimsalimia Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe Vuai Mwinyi,alipowasili katika Uwanja wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume kwa ziara ya siku moja Mjini Zanzibar.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Guo Jinlong akimsalimia na Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Zanzibar Mhe. Mohammed Raza alipowasili katika Uwanja wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume kwa ziara ya siku moja Mjini Zanzibar.
Mjumbe
wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Guo Jinlong,
akimsikiliza mwenyeji wake Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar Dk. Abdallah Juma
Mabodi alipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar
kwa ziara ya siku moja Zanzibar
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Guo Jinlong akimsalimia na Viongozi wa Chama cha Mapinduzi waliofika Uwanja wa Ndege wa Zanzibar kumpokea akiwa katika ziara yake ya siku moja Zanzibar.
Mjumbe
wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Guo Jinlong,
akisaini kitabu cha wageni akiwa katika VIP Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume akiwa na mwenyeji wake Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk Abdallah Juma Mabodi.
Mjumbe
wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Guo Jinlong,
akizungumza na Viongozi wa Serikali na Chama alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar kwa ziara ya siku moja Zanzibar
No comments:
Post a Comment