Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akipokea hati ya utambulisho kutoka kwa Mhe. Laszlo Eduard Mathe Balozi wa Hungary nchini mwenye makazi yake jijini Nairobi Kenya leo Machi 23, 2017 Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akipokea hati ya utambulisho kutoka kwa Dmitry Kuptel Balozi wa Mauritius nchini mwenye makazi yake jijini Maputo nchini Msumbiji leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akipokea hati ya utambulisho kutoka kwa Mhe. Sidibe Fatoumata Kama,Balozi wa Guinea nchini mwenye makazi yake jijini Addis Ababa, Ethiopia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akipokea hati ya utambulisho kutoka kwa Mhe. Lebonaamang Thanda Mokalake,Balozi wa Botswana nchini mwenye makazi yake jijini Lusaka, Zambia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akipokea hati ya utambulisho kutoka kwa Mhe. Adam Maiga Zakariaou Balozi wa Niger nchini mwenye makazi yake jijini Addis Ababa, Ethiopia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akipokea hati ya utambulisho kutoka kwa Mhe. Jean Pierre Jhumun, Balozi wa Belarus nchini mwenye makazi yake jijini Addis Ababa Ethiopia leo Machi 23, 2017 Ikulu jijini Dar es salaam.
No comments:
Post a Comment