Habari za Punde

Rasimu ya sheria ya serikali mtandao ‘E-Government’ yajadiliwa na wadau kisiwani Pemba

 BAADHI ya wataalamu wa kompyuta na maofisa sheria, kutoka taasisi na mashirika ya umma kisiwani Pemba, wakisikiliza uwasilishaji wa rasimu ya sheria ya serikali mtandao ‘E-Government’ kwenye mkutano uliofanyika ukumbi wa Maktba Chakechake, mkutano huo ulitayarishwa na Idara ya serikali mtandao Zanzibar, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 BAADHI ya wataalamu wa kompyuta na maofisa sheria, kutoka taasisi na mashirika ya umma kisiwani Pemba, wakisikiliza uwasilishaji wa rasimu ya sheria ya serikali mtandao ‘E-Government’ kwenye mkutano uliofanyika ukumbi wa Maktaba Chakechake, mkutano huo ulitayarishwa na Idara ya serikali mtandao Zanzibar, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 MKURUGENZI Idara serikali mtandao Zanzibar Shaaban Haji Chumu, akielezea namna ilivyopatikana rasimu ya sheria ya serikali mtandao, kwa maofisa sheria na wataalamu wa kompyuta, kutoka taasisi na mashirika ya umma Kisiwani Pemba, mkutano huo ulifanyika ukumbi wa maktaba Chakechake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 NAIBU Katibu mkuu anaeshughulia Utumishi wa Umma Zanzibar Seif Shaaban Mwinyi, akifungua mkutano wa uwasilishwaji wa rasimu ya sheria ya serikali mtandao, kwa maofisa sheria na wataalamu wa kompyuta, kutoa taasisi za serikali na kufanyika ukumbi wa Maktaba Chakechake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
AFISA Mdhamini wizara ya nchi afisi ya rais, Katiba, Sharia, Utumishi wa Umma na Utawala Bora Pemba, Massoud Ali Mohamed, akitoa neno la shukuran, mara baada ya Naibu Katibu Mkuu wake, kutoa hutuba ya ufunguzi, kwenye mkutano wa kuwasilisha rasimu ya sheria ya serikali mtandao, uliofanyika ukumbi wa Maktaba Chakechake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.