Mhandisi Mkuu wa Hospitali ya Mnazimmoja Mathna Kassim Marine akitoa maelezo kwa Mratibu wa Mashirika ya UN alipotembelea sehemu ya kuzalisha gesi ya Oxygen inayotumika katika Hospitali hiyo.
Ujumbe wa Mashirika ya UN Tanzania ukiongozwa na Alvaro Rodriguez wa kwanza (kushoto) ukitembelea Hospitali Kuu ya Mnazimmoja.
Wajumbe wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa Tanzania wakitembelea wodi mpya ya wazazi ya Hospitali Kuu ya Mnazimmoja.
Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.
No comments:
Post a Comment