Habari za Punde

Ujumbe wa Mashirika ya UN watembelea Hospitali ya Mnazimmoja

 Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mnazimmoja Dkt. Naufal Kassim Mohd akitoa maendeleo na changamoto za Hospitali ya Mnazimmoja wakati Ujumbe wa Mashirika ya UN ulipotembelea Hospitali hiyo.

 Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa Tanzania Alvaro Rodriguez akiuliza swali kwa uongozi wa Hospitali ya Mnazimmoja alipotembelea Hospitali hiyo kujuwa maendeleo yake.
 Mhandisi Mkuu wa Hospitali ya Mnazimmoja Mathna Kassim Marine akitoa maelezo kwa Mratibu wa Mashirika ya UN alipotembelea sehemu ya kuzalisha gesi ya Oxygen inayotumika katika Hospitali hiyo.
 Ujumbe wa Mashirika ya UN Tanzania ukiongozwa na Alvaro Rodriguez wa kwanza (kushoto) ukitembelea Hospitali Kuu ya Mnazimmoja.
Wajumbe wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa Tanzania wakitembelea wodi mpya ya wazazi ya Hospitali Kuu ya Mnazimmoja.
Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.