Kwa sasa, juhudi za Rais Dkt. Magufuli kufufua huduma bora na za uhakika katika Mashirika na Makampuni ya Umma zinazidi kuleta *Matokeo chanya+*
Kampuni Simu ya TANZANIA -TTCL ndiyo kampuni pekee inaongoza kwa sasa kwa kutoa huduma za intanet bora na za uhakika.
Rais wangu... *mzalendo na mchapakazi..*
Nchi yangu...
*Matokeo chanyA+*
NAMELOCK ALIVYOPOKEWA KWA KISHINDO MONDULI,AMSHUKURU RAIS SAMIA KWA HESHIMA
KUBWA YA KUUNYANYUA MKOA WA ARUSHA
-
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa,Ndugu Namelock Edward
Sokoine, amepokelewa kwa hamasa,nderemo, vifijo na umati wa Wananchi leo
Juma...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment