BENKI YA WATU WA ZANZIBAR
· Kampuni ya
simu ya Vodacom Limited inauzahisa (share) zake kupitia Benki ya Watu wa
Zanzibar (PBZ Bank) kwa shilingi 850/- kwa hisa moja. Hii fursa pekee kwa
wananchi wote wa Tanzania kuweza kuwekeza katika kampuni hio.
· Hisa hizo
zita uzwa kuanzia tarehe 09/03/2017 hadi tarehe 19/04/2017 (Kwa kipindi cha
wiki sita).
· Kiwango cha
mwanzo cha manunuzi ni hisa (share) 100 kwa thamani ya shilingi 85,000 na
anaweza kuongeza hisa 10, 10 kwa thamani ya shilingi 8,500/- kwa kila nyongeza.
· Kwa ajili
ya ununuzi, utatakiwa kufanya malipo kwenye account ya ZanSecurities Limited
yenye nambari 06107000074 iliopo Benki ya Watu Wa Zanzibar (PBZ Bank).
· Baada ya
kufanya malipo utajaza fomu maalumu ya kununulia hisa kulingana na kiwango cha
fedha zako ulizolipa.
· Kwa maelezo
Zaidi tafadhali fika kwenye tawi la Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ Bank)
liliopo karibu yako.
PBZ BANK: BENKI YA WATU, CHAGUO LA WATU
No comments:
Post a Comment