THE PEOPLE’S BANK OF ZANZIBAR
Wapendwa wateja wetu,
Tunachukua fursa hii kuwataarifu kuwa
Benki Kuu ya Tanzania imeagiza benki zote kutumia kadi za kisasa za ATM (EMV
Chip Based Cards) zenye teknolojia ya hali ya juu katika utunzanji
wa kumbukumbu za mteja ili kudhibiti uhalifu na wizi kupitia ATM.
Kutokana na agizo hilo uongozi wa
Benki unawaomba wateja wetu kurudisha ATM Kadi za zamani na kununua
kadi mpya za kisasa (EMV Chip Based Cards ) kupitia matawi ya Benki .
Mwisho wa matumizi ya ATM kadi za zamani ni tarehe 30 Juni 2017.
Kwa maelezo zaidi juu ya ununuwaji wa kadi
mpya (EMV Chip Based Cards ) tafadhali tembelea katika sehemu ya huduma ya
wateja katika matawi yetu
Benki tunaendelea kukupa
huduma bora katika kila sekta .
Benki ya watu ,Chaguo la watu .
Mkurugenzi Mtendaji
PBZ BANK LTD
S.L.P 1173
Zanzibar
Tanzania
No comments:
Post a Comment