ASKARI wa Polisi wa usalama
barabarani, anaefanyia kazi zake eneo la soko la matunda na mboga mboga mjini
Chakechake kisiwani Pemba, ambae hakupatikana jina lake mara moja, akimuokoa na
kipigo kijana mmoja aliedaiwa kumuibia mama mmoja sokoni hapo, ambapo kijana
huyo kisha aliingizwa kwenye gari yenye namba za usajili SLS 210 B na
kufikishwa kituo cha Polisi Madungu, akiambatana na mama huyo, (Picha na mpiga picha wetu Pemba).
MUHIMBILI MSHINDI WA KWANZA HUDUMA ZA AFYA SABASABA 2025.
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili [Upanga & Mloganzila] imeibuka mshindi wa
kwanza katika kundi la watoa huduma za afya katika Maonesho ya 49 ya
Biashara ya Ki...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment