ASKARI wa Polisi wa usalama
barabarani, anaefanyia kazi zake eneo la soko la matunda na mboga mboga mjini
Chakechake kisiwani Pemba, ambae hakupatikana jina lake mara moja, akimuokoa na
kipigo kijana mmoja aliedaiwa kumuibia mama mmoja sokoni hapo, ambapo kijana
huyo kisha aliingizwa kwenye gari yenye namba za usajili SLS 210 B na
kufikishwa kituo cha Polisi Madungu, akiambatana na mama huyo, (Picha na mpiga picha wetu Pemba).
DKT.SWARE SEMESI- NEMC ASHIRIKI UZINDUZI WA MFUMO W KIDIGITALI NCHINI GHANA
-
NEMC imeshiriki uzinduzi wa mfumo wa kidigitali wa kufuatilia uchafuzi wa
mazingira(online continuous emissions monitoring System) ambao umelenga
kurahisis...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment