Habari za Punde

Dk Shein akutana na Mabalozi wapya walioteuliwa kuiwakilisha Tanzania

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mabalozi wapya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania walioteuliwa kuiwakilisha  Tanzania  katika Nchi mbali mbali walipofika kumuaga Rais Ikulu Mjini Zanzibar leo,[Picha na Ikulu.] 11/04/2017.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Ujumbe Mabalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania walioteuliwa kuiwakilisha  Tanzania katika Nchi mbali mbali,  walipofika kumuaga Rais Ikulu Mjini Zanzibar leo/ [Picha na Ikulu.] 11/04/2017. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.