Waziri Fedha na
Mipango Zanzibar Mhe:Dk Khalid Salim Mohamed (katikati),akishiriki maandamano ya Mahafali ya Chuo cha ZCBE akiwa na Uongozi wa Chuo hicho wakiingia katika ukumbi wa hafla hiyo Vitongoji Chakechake Pemba.zAKIWA akifuatana na viongozi
mbali mbali wa chuo cha ZCBE wakati wa mahafali ya pili ya Chuo hicho huko
Vitongoji Chake Chake Pemba
Mkuu wa Chuo cha ZCBE
Kisiwani Pemba, Abdul-wahab Said Bakar akisoma risala ya Chuo wakati wa
mahafali ya pili ya chuo hicho kufanyika Kisiwani Pemba
Wahitimu wa Kanda mbali mbali ngazi ya Diploma,wakitunukiwa Shahada zao wakivaa kofia zao kuashiria kuhitimu fani zao
katika mahafali ya pili ya chuo cha ZCBE Kisiwani Pemba
Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Dk Khalid Salim Mohamed,
akimkabidhi cheti mmoja wa wafanuzi bora waliofali katika fani mbali mbali
zinazotolewa na Chuo cha ZCBE, wakati wa mahafali ya chuo hicho huko Chake
Chake Pemba
WAZIRI wa Fedha na
Mipango Zanzibar Dk Khalid Salim Mohamed, akizungumza na wazazi, walezi, walimu
na wahitimu wa kada mbali mbali katika Chuo cha ZCBE wakati wa mahafali ya Pili
ya chuo hicho Kisiwani Pemba
BAADHI ya wahitimu wa
kada mbali mbali katika Chuo cha ZCBE Kisiwani Pemba, wakifuatilia kwa makini
hutuma ya Waziri wa Fedha Dk Khali Salim Mohamed, wakati wa mahafali ya pili ya
Chuo hicho Pemba..(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
No comments:
Post a Comment