Maandalizi ya Ujenzi wa Uwanja wa Kisasa wa Mpira wa Mao waanza kwa hatua ya mwanzo ya unaofanywa na Kampuni ya Kichina kwa uchimbaji wa uwanja huo kama inavyoonekana picha harakazi hizo zikiendelea katika uwanja huo wa historia katika visiwa vya Unguja na kuibuwa vipaji vya wachezaji mbali mbali wa Zanzibar waliowika katika Kombe la Goseji na mengineyo.
DK.MWINYI AHIMIZA WANANCHI KUJITOKEZA KUPIGA KURA OKTOBA 29
-
MGOMBEA wa kiti cha Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),
ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.
Dkt. Hu...
16 minutes ago
No comments:
Post a Comment