Maandalizi ya Ujenzi wa Uwanja wa Kisasa wa Mpira wa Mao waanza kwa hatua ya mwanzo ya unaofanywa na Kampuni ya Kichina kwa uchimbaji wa uwanja huo kama inavyoonekana picha harakazi hizo zikiendelea katika uwanja huo wa historia katika visiwa vya Unguja na kuibuwa vipaji vya wachezaji mbali mbali wa Zanzibar waliowika katika Kombe la Goseji na mengineyo.
DKT POSSI AHIMIZA UWAJIBIKAJI BARAZA LA WAFANYAKAZI LA TCAA
-
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dkt. Ali Possi akiwasilisha hotuba
ya ufunguzi wa mkutano wa Baraza la Wafanyakazi la TCAA linalofanyika
Morogoro
...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment