WANANCHI
wa Shehia 13 za Wilaya ya Chake Chake, ambao walipatwa na maafa ya nyumba zao
kuanguka katika Mvua zilizonyesha Kisiwani Pemba, wakiwa na magodoro yao baada
ya kukabidhiwa na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya hiyo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
WAATHIRIKA
wa Mvua zilizonyesha Kisiwani Pemba kutoka shehia 13 zilizomo ndani ya Wilaya
ya Chake Chake, wakipakia wakipakia magodori yao katika gari aina ya keri,
baada ya kukabidhwa misaada hiyo.(PICHA
NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment