WANANCHI
wa Shehia 13 za Wilaya ya Chake Chake, ambao walipatwa na maafa ya nyumba zao
kuanguka katika Mvua zilizonyesha Kisiwani Pemba, wakiwa na magodoro yao baada
ya kukabidhiwa na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya hiyo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
WAATHIRIKA
wa Mvua zilizonyesha Kisiwani Pemba kutoka shehia 13 zilizomo ndani ya Wilaya
ya Chake Chake, wakipakia wakipakia magodori yao katika gari aina ya keri,
baada ya kukabidhwa misaada hiyo.(PICHA
NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
DKT.SERERA:SERIKALI ITAENDELEA KUISAIDIA FCC KUKABILIANA NA CHANGAMOTO ZA
UDHIBITI WA BIDHAA BANDIA
-
*Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani
Serera,akizungumza leo, Oktoba 16, 2025, wakati wa ziara ya pamoja kati ya
Menejimen...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment