Habari za Punde

Mkurugenzi wa Idara ya habari maelezo amaliza ziara kisiwani Pemba azungumza na wanahabari

 Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo  Zanzibar, Hassan Vuai, akizungumza na baadhi ya Waandishi wa habari  wa vyombo mbali mbali vikiwemo vya Serikali na binafsi, baada ya kumaliza ziara yake  ya kutembelea na kuzungumza na Wafanyakazi wa vyombo mbali mbali Kisiwani Pemba .

Picha na Hamad Shapandu -MAELEZO PEMBA.


Baadhi ya Waandishi wa habari wa Vyombo mbali mbali Kisiwani Pemba, wakimsikiliza Mkurugenzi wa Idara Habari maelezo Zanzibar,wakati alipozungumza nao kuhusiana na  wajibu wao katika kufanikisha majukumu ya Uandishi wa habari .

Picha na Hamad Shapandu -Maelezo Pemba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.