Mtoto huyo akifuatilia mchezo wa mpira ligi kuu ya Zanzibar nane bora Kati ya Jangombe Boy's akiwa na mapenzi na timu hiyo na kuchora fulana yake jina la timu hiyo kwa mapenzi ya timu hiyo akifuatilia mchezo uwanja wa Amaan Zanzibar.
WAZIRI MAKAMBA-AFRICA50 WAJADALI NAMNA YA KUSHIRIKIANA KATIKA UTEKELEZAJI
WA MIRADI YA MAENDELEO
-
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. January
Makamba (MP) akisalimiana na Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Africa50, Bw. Alain
Ebobiss...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment