GARI aina ya Nooha yenye namba za Usajili Z890EP, ambayo ilimshinda dereva na kutumbukia Bondeni, katika eneo la kona Kiyuni Wilaya ya Mkoani, ikinyanyuliwa juu na Kirini baada ya kupata ajali na kuingia bondeni kukiripotiwa hakuna mtu aliyepoteza maisha.(Picha na Abdi Suleiman - Pemba)
ASANTENI WANA RUANGWA -MAJALIWA
-
WAZIRI MKUU, na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa Kassim Majaliwa leo Julai 2,
2025 ametangaza rasmi kutokugombea tena ubunge wa jimbo la Ruangwa baada ya
kulitum...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment