Akiwa katika Uwanja wa Ndege wa Abeid Karume, Makamu wa Rais amekutana na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola Bi. Patricia Scotland ambaye alikuwa safarini kuelekea Dar es Salaam akiwa ameongozana na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Dk. Asha-Rose Migiro.
Bi. Scotland alikuwa mjini Zanzibar kwa mazungumzo na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
No comments:
Post a Comment