Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe Ayoub Mohammed Mahmoud akionesha picha zilizotolewa zawadi kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, baada ya kumaliza ziara yake katika Mkoa huo wakati wa Mkutano wac majumuisho ya ziiara yake yaliofanyika katika ukumbi wa zamani Baraza la Wawakilishi Kikwajuni Zanzibar.
Polisi Tanzania Kushirikiana na Polisi wa Nchi za Falme za ANchi za Kiarabu
-
Kamishna wa Polisi Zanzibar CP.Hamad Khamis Hamad akizungumza na Balozi
Mdogo wa Nchi za Falme za Kiarabu anayefanyia kazi zake Zanzibar Mhe.Saleh
Ahmed A...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment