Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe Ayoub Mohammed Mahmoud akionesha picha zilizotolewa zawadi kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, baada ya kumaliza ziara yake katika Mkoa huo wakati wa Mkutano wac majumuisho ya ziiara yake yaliofanyika katika ukumbi wa zamani Baraza la Wawakilishi Kikwajuni Zanzibar.
RAIS SAMIA APONGEZWA KWA KUKWAMUA UJENZI WA KITEGA UCHUMI CHA NSSF MWANZA
-
Na. Mwandishi wetu, Mwanza
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii imempongeza Rais
Samia Suluhu Hassan kwa kuridhia Mfuko wa Hifadhi ya ...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment