Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiwa na mfanyabiashara maarufu Zanzibar Said Bakressa akitembelea Mradi wa Nyumba za Kisasa Fumba zinazojengwa na mfanyabiashara huyo katika eneo hilo la maeneo huru ya Uchumi Zanzibar akiwa katika ziara yake kutembelea Miradi ya Maendeleo katika Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.
KATIBU MKUU MASWI AIPONGEZA OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI USIMAMIZI WA
MASHAURI
-
Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali imepongezwa kwa kuendelea kusimamia kwa
weledi mashauri ya madai na usuluhishi hatua ambayo imesaidia Serikali
kuongeza...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment