Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiwa na mfanyabiashara maarufu Zanzibar Said Bakressa akitembelea Mradi wa Nyumba za Kisasa Fumba zinazojengwa na mfanyabiashara huyo katika eneo hilo la maeneo huru ya Uchumi Zanzibar akiwa katika ziara yake kutembelea Miradi ya Maendeleo katika Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment