Baadhi Wachumaji wa karafuu wakiwa katika harakati za kuchambuwa karafuu walizochuma huko Ngomeni Wilaya ya Chake Chake Pemba.
Baadhi Wachumaji wa karafuu wakiwa katika harakati za kuchambuwa karafuu walizochuma hukoa katika Ngomeni Wilaya ya Chake Chake Pemba.
Karafuu ambazo zimeanikwa kwa mfumo unaotakikana kisheria katika majamvi huko Ngomeni Chake Chake Pemba, ambapo uhalisia na ubora wake haupotei.
Karafuu ambazo zimeanikwa kwa mfumo unatakikana kisheria katika majamvi huko Ngomeni Chake Chake Pemba, ambapo uhalisia na ubora wake haupotei.
Picha na Hanifa Salim , Pemba
No comments:
Post a Comment