Habari za Punde

Waathirika wa madawa ya kulevya wapatiwa mafunzo ya hakii za binadamu kisiwani Pemba

 VIJANA wanaotumia, walioacha na waliopata nafuu wa dawa za kulevya kisiwani Pemba, wakifuatilia mafunzo ya haki za binadamu, yalioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, yaliofanyika ukumbi wa TASSAF Chakechake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 MRATIBU wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, akifungua mafunzo ya haki za binadamu kwa vijana wanaotumia, walioacha na waliopata nafuu wa dawa za kulevya kisiwani Pemba, mafunzo hayo yalifanyika ukumbi wa TASSAF Chakechake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

 AFISA uhamasishaji kutoka Tume ya Ukimwi kisiwani Pemba, Ali Mbarouk Omar akiwasilisha mada ya mabadiliko ya tabia, kwa vijana wanaotumia, walioacha na waliopata nafuu wa dawa za kulevya kisiwani Pemba, kwenye mafunzo ya haki za binadamu yalioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, na kufanyika Ukumbi wa TASSAF Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 MTOA mada Ali Haji Mwadini kutoka Jumuia kwa ajili ya watu wenye ulemavu wa akili Pemba, akiwasilisha mada kwa vijana wanaotumia, walioacha na waliopata nafuu wa dawa za kulevya kisiwani Pemba, mafunzo hayo ya haki za binadamu yaliandaliwa na ZLSC na kufanyika ukumbi wa TASSAF Chakechake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.